Ecclesiastes 4:4-6

4Tena nikaona kuwa kazi zote na mafanikio yote huchipuka kutokana na wivu wa mtu kwa jirani yake. Hili nalo ni ubatili, ni kukimbiza upepo.
5 aMpumbavu hukunja mikono yake
na kujiangamiza mwenyewe.

6 bAfadhali konzi moja pamoja
na utulivu kuliko konzi mbili pamoja na taabu
na kukimbiza upepo.

Copyright information for SwhKC